Swali: Yule ambaye anaacha kufunga kwa sababu ya kumwokoa mtu mwengine anaweza kulinganishwa na mjamzito pale anapoacha kufunga kwa kuchelea juu ya mtoto wake? Nakusudia atatakiwa kulipa na kulisha chakula?
Jibu: Inafaa kwa mtu kuacha kufunga kwa ajili ya kumuokoa mwengine kutoka katika maangamivu jambo likipelekea yeye kula akiwa hawezi kufanya hivo isipokuwa kwa kula. Katika hali hiyo inafaa kwake kula na kulipa.
Swali: Je, analazimika kutoa kafara pamoja na kulipa?
Jibu: Kuhusu kafara siwezi kukata kitu. Lakini kulipa analazimika kulipa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/410)
- Imechapishwa: 22/03/2022
Swali: Yule ambaye anaacha kufunga kwa sababu ya kumwokoa mtu mwengine anaweza kulinganishwa na mjamzito pale anapoacha kufunga kwa kuchelea juu ya mtoto wake? Nakusudia atatakiwa kulipa na kulisha chakula?
Jibu: Inafaa kwa mtu kuacha kufunga kwa ajili ya kumuokoa mwengine kutoka katika maangamivu jambo likipelekea yeye kula akiwa hawezi kufanya hivo isipokuwa kwa kula. Katika hali hiyo inafaa kwake kula na kulipa.
Swali: Je, analazimika kutoa kafara pamoja na kulipa?
Jibu: Kuhusu kafara siwezi kukata kitu. Lakini kulipa analazimika kulipa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (02/410)
Imechapishwa: 22/03/2022
https://firqatunnajia.com/kafara-kwa-anayekula-kwa-sababu-ya-kumuoka-mwengine/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)