Kafara kwa ajili ya kugusagusa tupu ya mwanamke

Swali: Kafara inakuwa kwa yule aliyegusa tupu ya mwanamke mwenye hedhi au kafara inakuwa kwa yule aliyemjamii tu?

Jibu: Kafara ni kwa yule aliyemjamii tu. Ama mwenye kugusa tupu yake hana juu yake kafara. Kwa kuwa hii sio jimaa.

  • Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13342
  • Imechapishwa: 20/09/2020