Swali: Mama na baba wamegombana na mama yangu ananiamrisha kumuasi baba yangu. Ni ipi nasaha yako kwa hilo na ni wajibu kwangu kumtii?
Jibu: Hapana. Usimtii katika kumuasi baba yako na kumkasirikia baba yako. Watendee wote wawili wema. Mtendee wema mama yako na baba yako. Usimtii katika hili. Haya ni maasi na hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majid%20%207%20-%205%20-%201435.mp3
- Imechapishwa: 06/10/2020
Swali: Mama na baba wamegombana na mama yangu ananiamrisha kumuasi baba yangu. Ni ipi nasaha yako kwa hilo na ni wajibu kwangu kumtii?
Jibu: Hapana. Usimtii katika kumuasi baba yako na kumkasirikia baba yako. Watendee wote wawili wema. Mtendee wema mama yako na baba yako. Usimtii katika hili. Haya ni maasi na hakuna utiifu kwa kiumbe katika kumuasi Muumba.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Fathul%20Majid%20%207%20-%205%20-%201435.mp3
Imechapishwa: 06/10/2020
https://firqatunnajia.com/jinsi-ya-mtoto-kutangamana-na-wazazi-wenye-kugombana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)