Swali: Nikiamka katika swalah ya Fajr nimechelewa nitangulize Rakaa´ mbili zinazokuwa kabla ya swalah hata kama ninakhofia kuchomoza kwa jua?
Jibu: Ndio, hili ni lazima. Tanguliza Rakaa´ mbili za kabla ya swalah. Hivi ndivyo alivofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lakini ni kitu gani kilichokufanya kuchelewesha Fajr? Jimaa ndio inakufanya kuchelewesha Swalah? Ikiwa umezidiwa na wewe hukukusudia, unapewa udhuru. Ama ikiwa huu ndio mtindo wako, hili ni kosa kubwa. Kwanza unaacha swalah ya mkusanyiko. Pili unaitoa swalah nje ya wakati wake kwa sababu ya upuuzaji wako.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2124
- Imechapishwa: 01/07/2020
Swali: Nikiamka katika swalah ya Fajr nimechelewa nitangulize Rakaa´ mbili zinazokuwa kabla ya swalah hata kama ninakhofia kuchomoza kwa jua?
Jibu: Ndio, hili ni lazima. Tanguliza Rakaa´ mbili za kabla ya swalah. Hivi ndivyo alivofanya Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Lakini ni kitu gani kilichokufanya kuchelewesha Fajr? Jimaa ndio inakufanya kuchelewesha Swalah? Ikiwa umezidiwa na wewe hukukusudia, unapewa udhuru. Ama ikiwa huu ndio mtindo wako, hili ni kosa kubwa. Kwanza unaacha swalah ya mkusanyiko. Pili unaitoa swalah nje ya wakati wake kwa sababu ya upuuzaji wako.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Qaa´idah Jaliylah fiyt-Tawassul wal-Wasiylah (05) http://www.alfawzan.af.org.sa/node/2124
Imechapishwa: 01/07/2020
https://firqatunnajia.com/jimaa-ndio-inakufanya-kuchelewesha-fajr/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)