Swali: Mume anaruhusiwa kumwingilia mke wake mwenye hedhi ambaye ametwaharika kabla ya kuoga?
Jibu: Hapana. Kitendo hichi kinaenda kinyume na Aayah:
وَلَا تَقْرَبُوهُنَّ حَتَّىٰ يَطْهُرْنَ ۖ فَإِذَا تَطَهَّرْنَ فَأْتُوهُنَّ مِنْ حَيْثُ أَمَرَكُمُ اللَّـهُ
“Wala msiwakaribie [ili kujimai nao] mpaka watwaharike kwanza. Watakapotwaharika basi waendeeni kupitia pale alipokuamrisheni Allaah.”[1]
Amefanya kumwingilia baada ya kupatikana mambo mawili:
1- Damu yake ikatike.
2- Aoge.
[1] 02:222
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (7) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–15041434.mp3
- Imechapishwa: 18/03/2017
Swali: Mume anaruhusiwa kumwingilia mke wake mwenye hedhi ambaye ametwaharika kabla ya kuoga?
Jibu: Hapana. Kitendo hichi kinaenda kinyume na Aayah:
وَلَا تَقْرَبُوهُنَّ حَتَّىٰ يَطْهُرْنَ ۖ فَإِذَا تَطَهَّرْنَ فَأْتُوهُنَّ مِنْ حَيْثُ أَمَرَكُمُ اللَّـهُ
“Wala msiwakaribie [ili kujimai nao] mpaka watwaharike kwanza. Watakapotwaharika basi waendeeni kupitia pale alipokuamrisheni Allaah.”[1]
Amefanya kumwingilia baada ya kupatikana mambo mawili:
1- Damu yake ikatike.
2- Aoge.
[1] 02:222
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (7) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–15041434.mp3
Imechapishwa: 18/03/2017
https://firqatunnajia.com/jimaa-baada-ya-mwanamke-kutoka-kwenye-hedhi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)