Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kuvaa ´Abaa´ah ya mapambo, anaweka ´Abaa´ah mabegani na kuvaa suruwali?
Jibu: Suruwali haijuzu kwa mwanamke. Suruwali sio vazi la mwanamke. Mwanamke anatakiwa kuvaa vazi pana, lenye kusitiri na lililo la wasaa. Haijuzu kwake kuvaa mavazi ya kubana. Suruwali ni vazi la kubana. Haijuzu kwake.
´Abaa´ah la mapambo halijuzu. ´Abaa´ah ni kwa ajili ya kujisitiri. Sio kwa ajili ya kujipamba. ´Abaa´ah halitakiwi kuwa na mapambo na michoro.
Wakati anapotoka ´Abaa´ah anatatakiwa kuliweka juu ya kichwa. Hata hivyo hakuna neno akaliweka mabegani mwake anapokuwa nyumbani au pamoja na wanawake wenzake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Liqaa’-ul-Jumu´ah bit-Twaa’if http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17101
- Imechapishwa: 24/09/2017
Swali: Ni ipi hukumu ya mwanamke kuvaa ´Abaa´ah ya mapambo, anaweka ´Abaa´ah mabegani na kuvaa suruwali?
Jibu: Suruwali haijuzu kwa mwanamke. Suruwali sio vazi la mwanamke. Mwanamke anatakiwa kuvaa vazi pana, lenye kusitiri na lililo la wasaa. Haijuzu kwake kuvaa mavazi ya kubana. Suruwali ni vazi la kubana. Haijuzu kwake.
´Abaa´ah la mapambo halijuzu. ´Abaa´ah ni kwa ajili ya kujisitiri. Sio kwa ajili ya kujipamba. ´Abaa´ah halitakiwi kuwa na mapambo na michoro.
Wakati anapotoka ´Abaa´ah anatatakiwa kuliweka juu ya kichwa. Hata hivyo hakuna neno akaliweka mabegani mwake anapokuwa nyumbani au pamoja na wanawake wenzake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Liqaa’-ul-Jumu´ah bit-Twaa’if http://alfawzan.af.org.sa/ar/node/17101
Imechapishwa: 24/09/2017
https://firqatunnajia.com/jilbaab-na-suruwali-ya-mwanamke/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)