Swali: Je, wafu huzijua hali za waliohai?
Jibu: Allaah ndiye mjuzi zaidi. Kimsingi ni kwamba hawajui. Kwa sababu maiti matendo yake yote yameshakatika:
إِنَّكَ لَا تُسْمِعُ الْمَوْتَىٰ
“Hakika wewe huwezi kusikilizisha wafu.” (27:80)
Huu ndio msingi ya kwamba hawajui. Lakini kumepokelewa kitu kinachofahamisha kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anapotolewa salamu basi Allaah humrudishia roho yake na akamwitikia salamu yule mtoaji. Kilichowekwa katika Shari´ah kwa yule muislamu ni yeye kuwatolea salamu wale wafu. Hili ni jambo maalum. Sisi hatujui hali zao. Hata Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) imepokelewa katika Hadiyth mbalimbali ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Naonyeshwa matendo ya Ummah wangu – mema na maovu – akafurahi kwa yale mema na akaomba msamaha kwa yale maovu.”
Lakini Hadiyth hii ni dhaifu.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://shrajhi.com.sa/fatawa/19/%D8%A7%D9%84%D8%AA%D9%82%D8%A7%D8%A1-%D8%A3%D8%B1%D9%88%D8%A7%D8%AD-%D8%A7%D9%84%D9%85%D9%88%D8%AA%D9%89%D8%8C-%D9%88%D8%B9%D9%84%D9%85%D9%87%D9%85-%D8%A8%D8%A3%D8%AD%D9%88%D8%A7%D9%84-%D8%A7%D9%84%D8%A3%D8%AD%D9%8A%D8%A7%D8%A1
- Imechapishwa: 30/11/2019
Swali: Je, wafu huzijua hali za waliohai?
Jibu: Allaah ndiye mjuzi zaidi. Kimsingi ni kwamba hawajui. Kwa sababu maiti matendo yake yote yameshakatika:
إِنَّكَ لَا تُسْمِعُ الْمَوْتَىٰ
“Hakika wewe huwezi kusikilizisha wafu.” (27:80)
Huu ndio msingi ya kwamba hawajui. Lakini kumepokelewa kitu kinachofahamisha kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) anapotolewa salamu basi Allaah humrudishia roho yake na akamwitikia salamu yule mtoaji. Kilichowekwa katika Shari´ah kwa yule muislamu ni yeye kuwatolea salamu wale wafu. Hili ni jambo maalum. Sisi hatujui hali zao. Hata Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) imepokelewa katika Hadiyth mbalimbali ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Naonyeshwa matendo ya Ummah wangu – mema na maovu – akafurahi kwa yale mema na akaomba msamaha kwa yale maovu.”
Lakini Hadiyth hii ni dhaifu.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://shrajhi.com.sa/fatawa/19/%D8%A7%D9%84%D8%AA%D9%82%D8%A7%D8%A1-%D8%A3%D8%B1%D9%88%D8%A7%D8%AD-%D8%A7%D9%84%D9%85%D9%88%D8%AA%D9%89%D8%8C-%D9%88%D8%B9%D9%84%D9%85%D9%87%D9%85-%D8%A8%D8%A3%D8%AD%D9%88%D8%A7%D9%84-%D8%A7%D9%84%D8%A3%D8%AD%D9%8A%D8%A7%D8%A1
Imechapishwa: 30/11/2019
https://firqatunnajia.com/je-wafu-huzijua-hali-za-waliohai/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)