Swali: Je, uwajibu wa swalah ya ijumaa unaanguka ikiwa ´Iyd itaangukia siku ya ijumaa?
Jibu: Ndio. Kuna Hadiyth juu ya hilo:
“Hakika katika siku yenu hii zimekutana sikukuu mbili. Yule anayetaka hahitajii kuswali swalah ya ijumaa. Kwa hali yoyote tutaswali swalah ya ijumaa.”[1]
Kuna udhaifu ndani yake.
Imethibiti vilevile kwamba pindi ´Abdullaah bin az-Zubayr alipokuwa gavana wa Makkah watu walimsubiri atoke ili waswali, lakini hata hivyo hakutoka. Wakati walipomuuliza Ibn ´Abbaas juu ya hilo akasema:
“Ameiafiki Sunnah.”
Lakini hata hivyo bado ni wajibu kuswali Dhuhr. Yule ambaye hakuswali swalah ya ijumaa ni wajibu aswali Dhuhr.
[1] Imaam al-Albaaniy amesema:
”Swahiyh.” (Swahiyh Sunan Ibn Maajah (1/392))
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=847
- Imechapishwa: 14/06/2018
Swali: Je, uwajibu wa swalah ya ijumaa unaanguka ikiwa ´Iyd itaangukia siku ya ijumaa?
Jibu: Ndio. Kuna Hadiyth juu ya hilo:
“Hakika katika siku yenu hii zimekutana sikukuu mbili. Yule anayetaka hahitajii kuswali swalah ya ijumaa. Kwa hali yoyote tutaswali swalah ya ijumaa.”[1]
Kuna udhaifu ndani yake.
Imethibiti vilevile kwamba pindi ´Abdullaah bin az-Zubayr alipokuwa gavana wa Makkah watu walimsubiri atoke ili waswali, lakini hata hivyo hakutoka. Wakati walipomuuliza Ibn ´Abbaas juu ya hilo akasema:
“Ameiafiki Sunnah.”
Lakini hata hivyo bado ni wajibu kuswali Dhuhr. Yule ambaye hakuswali swalah ya ijumaa ni wajibu aswali Dhuhr.
[1] Imaam al-Albaaniy amesema:
”Swahiyh.” (Swahiyh Sunan Ibn Maajah (1/392))
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://muqbel.net/fatwa.php?fatwa_id=847
Imechapishwa: 14/06/2018
https://firqatunnajia.com/je-uwajibu-wa-swalah-ya-ijumaa-unaanguka-ikiwa-iyd-itaangukia-siku-ya-ijumaa/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)