Swali: Ni ipi hukumu ya kula sungura kwa kuwa wapo watu wamesema kuwa anapata hedhi na hivyo haijuzu kumla?
Jibu: Sungura ni halali hata kama atapata hedhi. Imethibiti ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimla na Maswahabah wakamla. Kwa hivyo hakuna neno kumla. Sungura ni halali kabisa japokuwa atapata hedhi. Kuna wanachuoni waliosema kuwa anapata hedhi. Hata kama anapata hedhi hilo halidhuru.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://www.binbaz.org.sa/noor/3147
- Imechapishwa: 24/03/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kula sungura kwa kuwa wapo watu wamesema kuwa anapata hedhi na hivyo haijuzu kumla?
Jibu: Sungura ni halali hata kama atapata hedhi. Imethibiti ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alimla na Maswahabah wakamla. Kwa hivyo hakuna neno kumla. Sungura ni halali kabisa japokuwa atapata hedhi. Kuna wanachuoni waliosema kuwa anapata hedhi. Hata kama anapata hedhi hilo halidhuru.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://www.binbaz.org.sa/noor/3147
Imechapishwa: 24/03/2018
https://firqatunnajia.com/je-sungura-ni-kumla/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)