Swali: Je, ni sahihi kuoga kwa maji na sabuni mchana wa Ramadhaan? Je, kuota kunamfunguza mwenye kufunga? Je, manukato yanafunguza?
Jibu: Mosi: Inajuzu kwa mfungaji kuoga kwa maji na sabuni mchana wa Ramadhaan.
Pili: Mwenye kuota mchana wa Ramadhaan ilihali amefunga swawm yake haiharibiki. Ni juu yake kuoga ikiwa ametokwa na manii.
Tatu: Mwenye kujitia aina yoyote ya manukato mchana wa Ramadhaan swawm yake haiharibiki. Lakini hata hivyo asitumie zile aina za manukato ya kufukiza kama ufukizo wa miski.
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/272)
- Imechapishwa: 11/06/2017
Swali: Je, ni sahihi kuoga kwa maji na sabuni mchana wa Ramadhaan? Je, kuota kunamfunguza mwenye kufunga? Je, manukato yanafunguza?
Jibu: Mosi: Inajuzu kwa mfungaji kuoga kwa maji na sabuni mchana wa Ramadhaan.
Pili: Mwenye kuota mchana wa Ramadhaan ilihali amefunga swawm yake haiharibiki. Ni juu yake kuoga ikiwa ametokwa na manii.
Tatu: Mwenye kujitia aina yoyote ya manukato mchana wa Ramadhaan swawm yake haiharibiki. Lakini hata hivyo asitumie zile aina za manukato ya kufukiza kama ufukizo wa miski.
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Lajnah ad-Daaimah (10/272)
Imechapishwa: 11/06/2017
https://firqatunnajia.com/je-ni-sahihi-kuoga-kwa-maji-na-sabuni-mchana-wa-ramadhaan/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)