Swali: Mke wangu anaishi pamoja nami Saudi na anataka kuwatumia mzazi wake picha wanaoishi Misri ili apate utulivu. Na nimesikia Fatwa kuwa picha kwa ala ya picha ni Haramu. Je, hii ni dharurah?
Jibu: Hii sio dharurah. Haifai kwake kutuma picha yake, sawa kwa mama yake wala asiyekuwa mama yake. Kwani hii sio dharurah. Amuandikie [barua], aongee nae kwenye simu. Alhamduli Allaah. Ama kutuma picha haijuzu.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
- Imechapishwa: 30/03/2018
Swali: Mke wangu anaishi pamoja nami Saudi na anataka kuwatumia mzazi wake picha wanaoishi Misri ili apate utulivu. Na nimesikia Fatwa kuwa picha kwa ala ya picha ni Haramu. Je, hii ni dharurah?
Jibu: Hii sio dharurah. Haifai kwake kutuma picha yake, sawa kwa mama yake wala asiyekuwa mama yake. Kwani hii sio dharurah. Amuandikie [barua], aongee nae kwenye simu. Alhamduli Allaah. Ama kutuma picha haijuzu.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
Imechapishwa: 30/03/2018
https://firqatunnajia.com/je-ni-dharurah-kupiga-picha-nikawatumia-wazazi-wangu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)