Swali 04: Je, kutokwa na damu puani kunachengua wudhuu´?
Jibu: Kutokwa na damu puani hakuchengui wudhuu´. Hakuna dalili juu ya kwamba kunachengua wudhuu´. Kumepokelewa Hadiyth dhaifu inayosema kuwa kunachengua. Lakini hata hivyo haikuthibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) walikuwa wakiswali na majeraha yao. Kwa hivyo hakuchengui. Lakini Lakini akichelea kuchafua msikiti basi atoke nje na aoshe arudi na ajengee juu ya swalah yake.
- Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 32
- Imechapishwa: 22/09/2019
Swali 04: Je, kutokwa na damu puani kunachengua wudhuu´?
Jibu: Kutokwa na damu puani hakuchengui wudhuu´. Hakuna dalili juu ya kwamba kunachengua wudhuu´. Kumepokelewa Hadiyth dhaifu inayosema kuwa kunachengua. Lakini hata hivyo haikuthibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Maswahabah wa Mtume wa Allaah (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) walikuwa wakiswali na majeraha yao. Kwa hivyo hakuchengui. Lakini Lakini akichelea kuchafua msikiti basi atoke nje na aoshe arudi na ajengee juu ya swalah yake.
Mhusika: ´Allaamah Muqbil bin Haadiy al-Waadi´iy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Ijaabatu as-Saa-il, uk. 32
Imechapishwa: 22/09/2019
https://firqatunnajia.com/je-kutokwa-na-damu-puani-kunachengua-wudhuu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)