Swali: Je, kuna asli yoyote ya kurusha udongo mara tatu upande wa kichwa cha maiti?
Jibu: Ndio, kitendo hichi kina asli. Imepokelewa namna udongo ulivyorushwa mara tatu upande wa kichwa cha Mtume (Swalla Allaahu´alayhi wa sallam)[1].
[1] Ibn Maajah (1565) na ad-Daaraqutwniy (2/76).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/184)
- Imechapishwa: 23/04/2019
Swali: Je, kuna asli yoyote ya kurusha udongo mara tatu upande wa kichwa cha maiti?
Jibu: Ndio, kitendo hichi kina asli. Imepokelewa namna udongo ulivyorushwa mara tatu upande wa kichwa cha Mtume (Swalla Allaahu´alayhi wa sallam)[1].
[1] Ibn Maajah (1565) na ad-Daaraqutwniy (2/76).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/184)
Imechapishwa: 23/04/2019
https://firqatunnajia.com/je-kuna-asli-yoyote-ya-kurusha-udongo-mara-tatu-upande-wa-kichwa-cha-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)