Swali: Kuwaraddi baadhi ya waandishi kunaingia katika kupeleleza aibu za watu, jambo ambalo limekatazwa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Mambo ni kama tulivyowakhabarisheni. Ikiwa kosa lake linawadhuru watu, anawadanganya watu na mtu huyo akawa na wafuasi, kitendo hichi ni katika Jihaad katika njia ya Allaah, kubainisha haki na kutoificha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (07) http://alfawzan.af.org.sa/node/2050
- Imechapishwa: 18/12/2016
Swali: Kuwaraddi baadhi ya waandishi kunaingia katika kupeleleza aibu za watu, jambo ambalo limekatazwa na Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam)?
Jibu: Mambo ni kama tulivyowakhabarisheni. Ikiwa kosa lake linawadhuru watu, anawadanganya watu na mtu huyo akawa na wafuasi, kitendo hichi ni katika Jihaad katika njia ya Allaah, kubainisha haki na kutoificha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (07) http://alfawzan.af.org.sa/node/2050
Imechapishwa: 18/12/2016
https://firqatunnajia.com/je-huku-ni-kupepeleza-aibu-za-watu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)