Swali: Je, asali inatolewa zakaah? Ni kipi kiwango chake na kipimo chake? Kwa sababu nyuki zimekuwa nyingi siku hizi. Je, kinachotolewa ni asali yenyewe au pesa?
Jibu: Maoni sahihi ni kuwa asali haitolewi zakaah. Hilo halikuthibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kujengea juu ya hili sio wajibu asali kuitolea zakaah. Lakini mtu akitoa kwa ajili ya usalama zaidi ni jambo la kheri na huenda ikawa ni sababu ya nyuki na asali yake kuwa nyingi. Ama kusema kwa kukata moja kwa moja ya kwamba mtu anapata dhambi kwa kuacha kutoa ni jambo halina dalili.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (05)
- Imechapishwa: 02/05/2020
Swali: Je, asali inatolewa zakaah? Ni kipi kiwango chake na kipimo chake? Kwa sababu nyuki zimekuwa nyingi siku hizi. Je, kinachotolewa ni asali yenyewe au pesa?
Jibu: Maoni sahihi ni kuwa asali haitolewi zakaah. Hilo halikuthibiti kutoka kwa Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam). Kujengea juu ya hili sio wajibu asali kuitolea zakaah. Lakini mtu akitoa kwa ajili ya usalama zaidi ni jambo la kheri na huenda ikawa ni sababu ya nyuki na asali yake kuwa nyingi. Ama kusema kwa kukata moja kwa moja ya kwamba mtu anapata dhambi kwa kuacha kutoa ni jambo halina dalili.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa’ ash-Shahriy (05)
Imechapishwa: 02/05/2020
https://firqatunnajia.com/je-asali-inatolewa-zakaah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)