Swali: Je, anaritadi anayeita katika umoja wa dini?
Jibu: Ndio, pasi na shaka. Akilingania katika umoja wa dini ilihali anajua kuwa dini ya unaswara ni batili, dini ya uyahudi ni batili na akataka kuisawazisha na Uislamu, huku ni kuritadi. Ama akiwa ni mjinga na hajui na anawasikia watu wanasema kitu hichi na akafikiria kuwa ni kitu kizuri cha umoja, huyu hapana shaka kwamba amekosea na ni mpotevu. Anatakiwa kubainishiwa kosa na upotevu wake. Akiendelea kung´ang´ania basi anatakiwa kukufurishwa. Kwa sababu amesawazisha kati ya ukafiri na imani.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam https://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/04.mp3
- Imechapishwa: 29/11/2018
Swali: Je, anaritadi anayeita katika umoja wa dini?
Jibu: Ndio, pasi na shaka. Akilingania katika umoja wa dini ilihali anajua kuwa dini ya unaswara ni batili, dini ya uyahudi ni batili na akataka kuisawazisha na Uislamu, huku ni kuritadi. Ama akiwa ni mjinga na hajui na anawasikia watu wanasema kitu hichi na akafikiria kuwa ni kitu kizuri cha umoja, huyu hapana shaka kwamba amekosea na ni mpotevu. Anatakiwa kubainishiwa kosa na upotevu wake. Akiendelea kung´ang´ania basi anatakiwa kukufurishwa. Kwa sababu amesawazisha kati ya ukafiri na imani.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Nawaaqidh-il-Islaam https://ajurry.com/safrawy/chorohat-elakida/chorohat-nawakid-elislam/charh-salah-fawzan/04.mp3
Imechapishwa: 29/11/2018
https://firqatunnajia.com/je-anaritadi-anayeita-katika-umoja-wa-dini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)