Swali: I´tikaaf huanza lini?
Jibu: Wanachuoni wengi wanaonelea kuwa I´tikaaf inaanza usiku wa kuamkia tarehe 21 na sio alfajiri ya tarehe 21. Lakini hata hivyo wapo wanachuoni wenye kuonelea kuwa I´tikaaf inaaza alfajiri ya tarehe 21 wakitumia dalili Hadiyth ya ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) iliyopokelewa na al-Bukhaariy isemayo:
“Aliposwali Fajr ndipo akaingia katika I´tikaaf yake.”
Lakini wanachuoni wengi hao wamejibu ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) asubuhi hiyo alikuwa peke yake na hakuwa na watu. Kuhusu nia ya I´tikaaf ni katika ule usiku wa kwanza. Yale masiku kumi ya mwisho yanaanza kuanzia pale jua linapozama siku ya ishirini.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (20/169-170)
- Imechapishwa: 21/06/2017
Swali: I´tikaaf huanza lini?
Jibu: Wanachuoni wengi wanaonelea kuwa I´tikaaf inaanza usiku wa kuamkia tarehe 21 na sio alfajiri ya tarehe 21. Lakini hata hivyo wapo wanachuoni wenye kuonelea kuwa I´tikaaf inaaza alfajiri ya tarehe 21 wakitumia dalili Hadiyth ya ´Aaishah (Radhiya Allaahu ´anhaa) iliyopokelewa na al-Bukhaariy isemayo:
“Aliposwali Fajr ndipo akaingia katika I´tikaaf yake.”
Lakini wanachuoni wengi hao wamejibu ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) asubuhi hiyo alikuwa peke yake na hakuwa na watu. Kuhusu nia ya I´tikaaf ni katika ule usiku wa kwanza. Yale masiku kumi ya mwisho yanaanza kuanzia pale jua linapozama siku ya ishirini.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (20/169-170)
Imechapishwa: 21/06/2017
https://firqatunnajia.com/itikaaf-huanza-lini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)