Swali: Je, ni israfu kutumia mawe ya thamani kama almasi na hivyo haijuzu?
Jibu: Hapana. Msingi ni kuwa inajuzu. Hatuharamishi kitu isipokuwa kwa dalili:
هُوَ الَّذِي خَلَقَ لَكُم مَّا فِي الْأَرْضِ جَمِيعًا
“Yeye ndiye Ambaye amekuumbieni vyote vilivyomo ardhini.” (02:29)
Vimeumbwa kwa ajili ya manufaa yetu. Msingi ni kuwa inajuzu. Isipokuwa kile ambacho dalili inaonyesha juu ya uharamu wake.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdah–14340316.mp3
- Imechapishwa: 25/08/2020
Swali: Je, ni israfu kutumia mawe ya thamani kama almasi na hivyo haijuzu?
Jibu: Hapana. Msingi ni kuwa inajuzu. Hatuharamishi kitu isipokuwa kwa dalili:
هُوَ الَّذِي خَلَقَ لَكُم مَّا فِي الْأَرْضِ جَمِيعًا
“Yeye ndiye Ambaye amekuumbieni vyote vilivyomo ardhini.” (02:29)
Vimeumbwa kwa ajili ya manufaa yetu. Msingi ni kuwa inajuzu. Isipokuwa kile ambacho dalili inaonyesha juu ya uharamu wake.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/omdah–14340316.mp3
Imechapishwa: 25/08/2020
https://firqatunnajia.com/israfu-kutumia-madini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)