Ni kosa kuwanasibisha ISIS na Ibn Taymiyyah au Da´wah Salafiyyah. Sisi hatulikubali jina hilo. Wao wananakili maneno kutoka hapa na pale, lakini ukweli wa mambo ni kwamba Qur-aan na Sunnah haina chochote kuhusiana nao. Salafiyyah haina chochote kuhusiana na wao. Ibn Taymiyyah hana chochote kuhusiana na wao. Maimamu wa Da´wah ya Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab na wanafunzi wake hawana chochote kuhusiana na wao.

  • Mhusika: Shaykh Swaalih bin ´Abdil-´Aziyz Aalush-Shaykh
  • Mfasiri: Firqatunnajia.com
  • Marejeo: http://www.alhayat.com/article/665952/%D8%A2%D9%84-%D8%A7%D9%84%D8%B4%D9%8A%D8%AE-%D8%AF%D8%A7%D8%B9%D8%B4-%D8%B5%D9%86%D9%8A%D8%B9%D8%A9-%D8%A7%D8%B3%D8%AA%D8%AE%D8%A8%D8%A7%D8%B1%D8%A7%D8%AA%D9%8A%D8%A9-%D9%88%D8%A7%D8%A8%D9%86-%D8%AA%D9%8A%D9%85%D9%8A%D8%A9-%D9%88%D8%A7%D9%84%D8%B3%D9%84%D9%81%D9%8A%D8%A9-%D9%85%D9%86%D9%87%D9%85-%D8%A8%D8%B1%D8%A7%D8%A1
  • Imechapishwa: 22/05/2019