Swali: Je, Isbaal ni dhambi kubwa? Je, suruwali ya soksi inaingia katika Isbaal, makoti na vyenginevyo?
Jibu: Isbaal ni kila chenye kushuka chini ya kongo mbili za miguu. Inaweza kuwa kanzu, kikoi au koti. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Shuka yenye kuvuka chini ya kongo mbili za miguu ni Motoni.”
Inaweza kuwa kanzu, kikoi au koti.
Ama kuhusu suruwali ya soksi, hakuna neno.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (82) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-08-3-1439-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2018
Swali: Je, Isbaal ni dhambi kubwa? Je, suruwali ya soksi inaingia katika Isbaal, makoti na vyenginevyo?
Jibu: Isbaal ni kila chenye kushuka chini ya kongo mbili za miguu. Inaweza kuwa kanzu, kikoi au koti. Amesema (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam):
“Shuka yenye kuvuka chini ya kongo mbili za miguu ni Motoni.”
Inaweza kuwa kanzu, kikoi au koti.
Ama kuhusu suruwali ya soksi, hakuna neno.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Ighaathat-il-Lahfaan (82) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/Ighastah-08-3-1439-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2018
https://firqatunnajia.com/isbaal-katika-suruwali-ya-soksi-kwa-wanaume/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)