Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kabla ya kwenda katika ´Iyd-ul-Fitwr alikuwa akila tende kwa kuwitiri. Je, kuna kikomo cha witiri hiyo na kunaingia vilevile tende tatu, tano, saba, tisa kumi na moja na kadhalika?
Jibu: Hakuna kikomo cha witiri kinachotakikana juu ya wingi. Lakini isiwe chini ya tende tatu kwa sababu ndio kiwango cha chini. Allaah ndiye mjuzi zaidi.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (16/234)
- Imechapishwa: 14/06/2018
Swali: Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) kabla ya kwenda katika ´Iyd-ul-Fitwr alikuwa akila tende kwa kuwitiri. Je, kuna kikomo cha witiri hiyo na kunaingia vilevile tende tatu, tano, saba, tisa kumi na moja na kadhalika?
Jibu: Hakuna kikomo cha witiri kinachotakikana juu ya wingi. Lakini isiwe chini ya tende tatu kwa sababu ndio kiwango cha chini. Allaah ndiye mjuzi zaidi.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (16/234)
Imechapishwa: 14/06/2018
https://firqatunnajia.com/inatakiwa-kula-tende-kwa-kuwitiri-kabla-ya-kwenda-katika-uwanja-wa-iyd/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)