Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kuvaa suruwali ya soksi wakati wa Ihraam?
Jibu: Ni sawa. Maadamu sio ya mapambo na ya dhambi anaweza kuvaa kama kawaida. Isipokuwa kitu kimoja ndio hafai kuvaa: Niqaab na vifuniko vya mikono. Mwanamke anatakiwa kujifunika. Hivyo avae mavazi ya kawaida isipokuwa tu Niqaab na vifuniko vya mikono, haya ndio amekataza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/muq–14331123.mp3
- Imechapishwa: 17/06/2015
Swali: Je, inafaa kwa mwanamke kuvaa suruwali ya soksi wakati wa Ihraam?
Jibu: Ni sawa. Maadamu sio ya mapambo na ya dhambi anaweza kuvaa kama kawaida. Isipokuwa kitu kimoja ndio hafai kuvaa: Niqaab na vifuniko vya mikono. Mwanamke anatakiwa kujifunika. Hivyo avae mavazi ya kawaida isipokuwa tu Niqaab na vifuniko vya mikono, haya ndio amekataza Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam).
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Muqaddimati Ibn Abiy Zayd al-Qayrawaaniy fiyl-´Aqiydah (03) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/muq–14331123.mp3
Imechapishwa: 17/06/2015
https://firqatunnajia.com/inaruhusiwa-kwa-mwanamke-kuvaa-suruwali-ya-soksi-katika-ihraam__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)