Swali: Inajuzu kwa wanawake kupaka rangi nyusi zao pasi na kuziondosha?
Jibu: Huku ni kubadilisha maumbile ya Allaah. Nyusi zinatakiwa kubakia kama zilivyo. Kusibadilishwe kitu si kwa kuzinyofoa, kuzinyoa, kuzipanga rangi wala kitu kingine.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (34) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathulmajid-17-11-1436-01.mp3
- Imechapishwa: 12/02/2017
Swali: Inajuzu kwa wanawake kupaka rangi nyusi zao pasi na kuziondosha?
Jibu: Huku ni kubadilisha maumbile ya Allaah. Nyusi zinatakiwa kubakia kama zilivyo. Kusibadilishwe kitu si kwa kuzinyofoa, kuzinyoa, kuzipanga rangi wala kitu kingine.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (34) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/fathulmajid-17-11-1436-01.mp3
Imechapishwa: 12/02/2017
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kwa-wanawake-kupaka-rangi-nyusi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)