Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kutembelea kaburi au makaburi kwa mwaka mara moja?
Jibu: Hapana. Haijuzu hata kama itakuwa mara moja kwa miaka elfu moja. Haijuzu kwa mwanamke kutembelea makaburi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wanawake wenye kuyatembelea makaburi. Haijuzu kwa mwanamke kutembelea makaburi. Haijalishi kitu hata kama itakuwa ni kaburi moja au mara moja tu kwa mwaka au kwa miaka. Haijuzu kwake kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (74) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-10-28.mp3
- Imechapishwa: 22/08/2020
Swali: Je, inajuzu kwa mwanamke kutembelea kaburi au makaburi kwa mwaka mara moja?
Jibu: Hapana. Haijuzu hata kama itakuwa mara moja kwa miaka elfu moja. Haijuzu kwa mwanamke kutembelea makaburi. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amewalaani wanawake wenye kuyatembelea makaburi. Haijuzu kwa mwanamke kutembelea makaburi. Haijalishi kitu hata kama itakuwa ni kaburi moja au mara moja tu kwa mwaka au kwa miaka. Haijuzu kwake kufanya hivo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (74) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-10-28.mp3
Imechapishwa: 22/08/2020
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kwa-mwanamke-kutembelea-makaburi-mara-moja-kwa-mwaka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)