Swali: Inajuzu kwa mlezi wa maiti kuwaomba wahudhuriaji kumsamehe yule maiti?
Jibu: Mlezi wa maiti kuwaomba wahudhuriaji wamsamehe yule maiti ni Bid´ah. Sio katika Sunnah kuwaambia wale wahudhuriaji “Msameheni”. Midhali hana lolote na wao, basi hawana nyoyoni mwao kitu. Ikiwa alikuwa na chochote baina yake na wao na akafanya lile ambalo ni wajibu kwake kufanya juu ya yule mwingine, moyoni mwa yule mwingine hakuna kitu. Ikiwa hakufanya lile linalomlazimu juu ya yule mwingine, huenda akamsamehe na huenda asimsamehe. Imethibiti ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kuchukua mali ya watu kwa nia ya kutaka kuilipa, basi Allaah atamlipia nayo. Na yule mwenye kuchukua mali ya watu kwa njia ya kutaka kuiharibu, basi Allaah atamuharibia nayo.”[1]
[1] al-Bukhaariy (2387).
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/216)
- Imechapishwa: 23/08/2021
Swali: Inajuzu kwa mlezi wa maiti kuwaomba wahudhuriaji kumsamehe yule maiti?
Jibu: Mlezi wa maiti kuwaomba wahudhuriaji wamsamehe yule maiti ni Bid´ah. Sio katika Sunnah kuwaambia wale wahudhuriaji “Msameheni”. Midhali hana lolote na wao, basi hawana nyoyoni mwao kitu. Ikiwa alikuwa na chochote baina yake na wao na akafanya lile ambalo ni wajibu kwake kufanya juu ya yule mwingine, moyoni mwa yule mwingine hakuna kitu. Ikiwa hakufanya lile linalomlazimu juu ya yule mwingine, huenda akamsamehe na huenda asimsamehe. Imethibiti ya kwamba Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Mwenye kuchukua mali ya watu kwa nia ya kutaka kuilipa, basi Allaah atamlipia nayo. Na yule mwenye kuchukua mali ya watu kwa njia ya kutaka kuiharibu, basi Allaah atamuharibia nayo.”[1]
[1] al-Bukhaariy (2387).
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (17/216)
Imechapishwa: 23/08/2021
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kwa-mlezi-wa-maiti-kuwaomba-wahudhuriaji-kumsamehe-yule-maiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)