Swali: Inajuzu kupokea malipo kwa sababu ya kutoa adhaana?
Jibu: Haijuzu kuchukua malipo kutoka kwa mtu. Hata hivyo inafaa kuchukua malipo kutoka katika nyumba ya mali ilioko kwa ajili ya manufaa ya waislamu. Lakini haijuzu kushurutisha na kusema kuwa hauwezi kuadhini isipokuwa mpaka upewe malipo ya hilo. Hakutiliwi masharti katika ´ibaadah.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
- Imechapishwa: 22/01/2017
Swali: Inajuzu kupokea malipo kwa sababu ya kutoa adhaana?
Jibu: Haijuzu kuchukua malipo kutoka kwa mtu. Hata hivyo inafaa kuchukua malipo kutoka katika nyumba ya mali ilioko kwa ajili ya manufaa ya waislamu. Lakini haijuzu kushurutisha na kusema kuwa hauwezi kuadhini isipokuwa mpaka upewe malipo ya hilo. Hakutiliwi masharti katika ´ibaadah.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh ´Umdat-il-Fiqh (8) http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/umdt–14340429.mp3
Imechapishwa: 22/01/2017
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kupokea-malipo-kwa-ajili-ya-adhaana/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)