Swali: Je, inajuzu kupamba misikiti?
Jibu: Hapana. Haikujengwa kwa ajili ya kupambwa. Imejengwa kwa ajili ya ´ibaadah. Malengo ni unyenyekevu na kumuogopa Allaah (´Azza wa Jall). Haikujengwa kwa malengo ya fakhari. Haikujengwa kwa ajili ya makumbusho. Waseme haya ni mabaki makubwa ya waislamu. Ni kweli ya kwamba misikiti ni mabaki ya waislamu, lakini hata hivyo haina maana ya kwamba inatakiwa kupambwa. Misikiti yote ni mikubwa hata kama haikupambwa.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
- Imechapishwa: 11/02/2017
Swali: Je, inajuzu kupamba misikiti?
Jibu: Hapana. Haikujengwa kwa ajili ya kupambwa. Imejengwa kwa ajili ya ´ibaadah. Malengo ni unyenyekevu na kumuogopa Allaah (´Azza wa Jall). Haikujengwa kwa malengo ya fakhari. Haikujengwa kwa ajili ya makumbusho. Waseme haya ni mabaki makubwa ya waislamu. Ni kweli ya kwamba misikiti ni mabaki ya waislamu, lakini hata hivyo haina maana ya kwamba inatakiwa kupambwa. Misikiti yote ni mikubwa hata kama haikupambwa.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Fath-il-Majiyd (23) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tahid-25-07-1435-01.mp3
Imechapishwa: 11/02/2017
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kupamba-misikiti/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)