Swali: Nimechumbia mwanamke wa umri wa miaka ishirini, na niliwahi kumsaidia kwa kumpa damu pindi alipokuwa mgonjwa kabla sijamchumbia. Je, inajuzu kwangu kumchumbia?
Jibu: Damu haiathiri, sio kama kunyonya. Mwanamke kuolewa na mwanaume ambaye ana damu yake, au mwanaume kuoa mwanamke ambaye ana damu yake aliyompa wakati wa haja ya hilo, hili halina hukumu kama ya kunyonya. Mwanamke haharamiki kwake (mwanaume) wala (mwanaume) haharamiki kwake (mwanamke) kwa yaliyopitika katika kunufaishana kwa damu ambayo anaihitajia mgonjwa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
- Imechapishwa: 31/03/2018
Swali: Nimechumbia mwanamke wa umri wa miaka ishirini, na niliwahi kumsaidia kwa kumpa damu pindi alipokuwa mgonjwa kabla sijamchumbia. Je, inajuzu kwangu kumchumbia?
Jibu: Damu haiathiri, sio kama kunyonya. Mwanamke kuolewa na mwanaume ambaye ana damu yake, au mwanaume kuoa mwanamke ambaye ana damu yake aliyompa wakati wa haja ya hilo, hili halina hukumu kama ya kunyonya. Mwanamke haharamiki kwake (mwanaume) wala (mwanaume) haharamiki kwake (mwanamke) kwa yaliyopitika katika kunufaishana kwa damu ambayo anaihitajia mgonjwa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Nuur ´alaad-Darb
Imechapishwa: 31/03/2018
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kuoa-mwanamke-ambaye-niliwahi-kumpa-damu-yangu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)