Swali 11: Inajuzu kunywa pombe ambayo imeandikwa kwamba haina kilevi (alcoholfree)?
Jibu: Ndio, ikiwa haileweshi hakuna neno. Hili ni jambo linalojulikana na linalotambulika. Ama ikitambulika kuwa inalewesha basi haifai mtu kuinywa.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 33
- Imechapishwa: 20/09/2018
Swali 11: Inajuzu kunywa pombe ambayo imeandikwa kwamba haina kilevi (alcoholfree)?
Jibu: Ndio, ikiwa haileweshi hakuna neno. Hili ni jambo linalojulikana na linalotambulika. Ama ikitambulika kuwa inalewesha basi haifai mtu kuinywa.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: ash-Sharh al-Mumtaaz, uk. 33
Imechapishwa: 20/09/2018
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kunywa-pombe-ambayo-imeandikwa-kwamba-haileweshi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)