Swali: Inajuzu kumdhukuru Allaah chooni?
Jibu: Haitakikani kwa mtu kumdhukuru Mola wake (´Azza wa Jall) ndani ya choo. Sehemu hii haistahiki. Hakuna neno endapo atamtaja kwa moyo wake pasi na kutamka kwa mdomo wake. Vinginevyo bora asitamke kwa mdomo wake katika sehemu kama hii na badala yake asubiri mpaka atapotoka.
Lakini ni sawa kumtaja Allaah ikiwa ni sehemu ya kutawadhia peke yake ambako kumetengana na sehemu ya kukidhia haja.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/110)
- Imechapishwa: 13/06/2017
Swali: Inajuzu kumdhukuru Allaah chooni?
Jibu: Haitakikani kwa mtu kumdhukuru Mola wake (´Azza wa Jall) ndani ya choo. Sehemu hii haistahiki. Hakuna neno endapo atamtaja kwa moyo wake pasi na kutamka kwa mdomo wake. Vinginevyo bora asitamke kwa mdomo wake katika sehemu kama hii na badala yake asubiri mpaka atapotoka.
Lakini ni sawa kumtaja Allaah ikiwa ni sehemu ya kutawadhia peke yake ambako kumetengana na sehemu ya kukidhia haja.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawaa (11/110)
Imechapishwa: 13/06/2017
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kumdhukuru-allaah-chooni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)