Swali: Inajuzu kula na kunywa katikati ya adhaana ya muadhini?
Jibu: Ikiwa muadhini anaadhini pale tu ambapo alfajiri inaingia, basi itakuwa haijuzu kula na kunywa pindi atakapoanza kuadhini. Ama ikiwa muadhini anaadhini kabla ya alfajiri ni sawa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Bilaal anaadhini usiku. Hivyo kuleni na kunyweni mpaka aadhini Ibn Umm Maktuum.”
Ibn Umm Maktuum alikuwa haadhini mpaka aambiwe: kumekucha. Kwa kuwa alikuwa ni mtu kipofu. Kwa hivyo alikuwa haadhini mpaka aambiwe kuwa kumekuja. Bi maana asubuhi imeanza.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaam al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14891
- Imechapishwa: 30/05/2017
Swali: Inajuzu kula na kunywa katikati ya adhaana ya muadhini?
Jibu: Ikiwa muadhini anaadhini pale tu ambapo alfajiri inaingia, basi itakuwa haijuzu kula na kunywa pindi atakapoanza kuadhini. Ama ikiwa muadhini anaadhini kabla ya alfajiri ni sawa. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) amesema:
“Bilaal anaadhini usiku. Hivyo kuleni na kunyweni mpaka aadhini Ibn Umm Maktuum.”
Ibn Umm Maktuum alikuwa haadhini mpaka aambiwe: kumekucha. Kwa kuwa alikuwa ni mtu kipofu. Kwa hivyo alikuwa haadhini mpaka aambiwe kuwa kumekuja. Bi maana asubuhi imeanza.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaam al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/node/14891
Imechapishwa: 30/05/2017
https://firqatunnajia.com/inajuzu-kula-na-kunywa-wakati-wa-adhaana-ya-alfajiri/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)