Swali: Inafaa kwa mwanaume kutoa adhaana na kukimu kama mwanaume? Inafaa kwa wanawake kuswali kwa pamoja kazini au masomoni?
Jibu: Ama kuhusu kuswali mkusanyiko kwa mmoja katika wao akawaswalisha ni sawa.
Kuhusu kutoa adhaana na kukimu hawana si adhaana wala Iqaamah. Haifai kwa wanawake kuadhini wala kukimu. Haya ni miongoni mwa mambo maalum kwa wanaume.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
- Imechapishwa: 01/12/2017
Swali: Inafaa kwa mwanaume kutoa adhaana na kukimu kama mwanaume? Inafaa kwa wanawake kuswali kwa pamoja kazini au masomoni?
Jibu: Ama kuhusu kuswali mkusanyiko kwa mmoja katika wao akawaswalisha ni sawa.
Kuhusu kutoa adhaana na kukimu hawana si adhaana wala Iqaamah. Haifai kwa wanawake kuadhini wala kukimu. Haya ni miongoni mwa mambo maalum kwa wanaume.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa ´alaa al-Hawaa´ http://alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/1436-03-02.mp3
Imechapishwa: 01/12/2017
https://firqatunnajia.com/inafaa-kwa-wanawake-kuswali-pamoja-kazini-au-masomoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)