Swali 148: Je, inafaa kwa mwanamke mwenye damu ya uzazi kutoka nje ya nyumbani kwake kabla ya kuisha kwa eda?
Jibu: Mwanamke mwenye damu ya uzazi hakuna neno kwake kutoka nyumbani kwake. Asipokuwa na haja basi bora kwa wanawake wote kulazimiana na majumba. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
وَقَرْنَ فِي بُيُوتِكُنَّ وَلَا تَبَرَّجْنَ تَبَرُّجَ الْجَاهِلِيَّةِ الْأُولَى
“Tulizaneni majumbani mwenu na wala msijishauwe kwa kuonyesha mapambo kama walivyojishauwa zama za ujahili.”[1]
[1] 33:33
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 62
- Imechapishwa: 01/09/2019
Swali 148: Je, inafaa kwa mwanamke mwenye damu ya uzazi kutoka nje ya nyumbani kwake kabla ya kuisha kwa eda?
Jibu: Mwanamke mwenye damu ya uzazi hakuna neno kwake kutoka nyumbani kwake. Asipokuwa na haja basi bora kwa wanawake wote kulazimiana na majumba. Allaah (Subhaanahu wa Ta´ala) amesema:
وَقَرْنَ فِي بُيُوتِكُنَّ وَلَا تَبَرَّجْنَ تَبَرُّجَ الْجَاهِلِيَّةِ الْأُولَى
“Tulizaneni majumbani mwenu na wala msijishauwe kwa kuonyesha mapambo kama walivyojishauwa zama za ujahili.”[1]
[1] 33:33
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa al-Mar´ah al-Muslimah, uk. 62
Imechapishwa: 01/09/2019
https://firqatunnajia.com/inafaa-kwa-mwenye-nifasi-kutoka-nyumbani-wakati-wa-eda/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)