Swali: Mke akimwekea sharti mume wake ikiwa ataoa mwingine juu yake basi amtaliki. Je, sharti kama hii inaenda kinyume na Shari´ah?
Jibu: Mwanamke yuko na khiyari endapo atamwekea sharti. Waislamu wako kwa sharti walizowekeana. Sharti inamfaa na kuoa kunamdhuru. Wanachuoni wamesema kwa uwazi kwamba inafaa kwake kuweka sharti na kwamba yuko na khiyari; akitaka, basi anaweza kumwacha, na akitaka anaweza kutengana naye kwa njia ya kwamba hahitajii kupewa talaka wala chochote.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/6171/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D8%B4%D8%AA%D8%B1%D8%A7%D8%B7-%D8%A7%D9%84%D8%B2%D9%88%D8%AC%D8%A9-%D8%B9%D8%AF%D9%85-%D8%A7%D9%84%D8%B2%D9%88%D8%A7%D8%AC-%D8%B9%D9%84%D9%8A%D9%87%D8%A7
- Imechapishwa: 16/10/2020
Swali: Mke akimwekea sharti mume wake ikiwa ataoa mwingine juu yake basi amtaliki. Je, sharti kama hii inaenda kinyume na Shari´ah?
Jibu: Mwanamke yuko na khiyari endapo atamwekea sharti. Waislamu wako kwa sharti walizowekeana. Sharti inamfaa na kuoa kunamdhuru. Wanachuoni wamesema kwa uwazi kwamba inafaa kwake kuweka sharti na kwamba yuko na khiyari; akitaka, basi anaweza kumwacha, na akitaka anaweza kutengana naye kwa njia ya kwamba hahitajii kupewa talaka wala chochote.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa-ud-Duruus https://binbaz.org.sa/fatwas/6171/%D8%AD%D9%83%D9%85-%D8%A7%D8%B4%D8%AA%D8%B1%D8%A7%D8%B7-%D8%A7%D9%84%D8%B2%D9%88%D8%AC%D8%A9-%D8%B9%D8%AF%D9%85-%D8%A7%D9%84%D8%B2%D9%88%D8%A7%D8%AC-%D8%B9%D9%84%D9%8A%D9%87%D8%A7
Imechapishwa: 16/10/2020
https://firqatunnajia.com/inafaa-kwa-mwanamke-kuweka-sharti-ya-kutoolewa-juu-yake/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)