Swali: Je, inafaa kwa mwanafunzi ambaye ameimarika katika elimu ya Takfiyr akamkufurisha mtu kwa dhati yake pasi na kurejea kwa wanachuoni kutokana na kutegemea kwake ile elimu alionayo?
Jibu: Mambo ya Takfiyr ni ya khatari. Kuna wengi wameteleza katika jambo hili. Katika jambo hilo mtu anatakiwa kurejea kwa wanachuoni. Hahukumiwi yeyote kwamba ni kafiri isipokuwa baada ya mtu huyo kusimamishwa katika mahakama ya kidini ambapo watadurusu yale yanayopelekea katika ukafiri wake kupitia maneno na matendo yake. Baada ya hapo ndio atakufurishwa. Ama kusema kila mmoja akufurishe ni kitu kisichojuzu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Muhadhara: al-Istiqaamah ´alaa Diynillaah
- Imechapishwa: 13/03/2021
Swali: Je, inafaa kwa mwanafunzi ambaye ameimarika katika elimu ya Takfiyr akamkufurisha mtu kwa dhati yake pasi na kurejea kwa wanachuoni kutokana na kutegemea kwake ile elimu alionayo?
Jibu: Mambo ya Takfiyr ni ya khatari. Kuna wengi wameteleza katika jambo hili. Katika jambo hilo mtu anatakiwa kurejea kwa wanachuoni. Hahukumiwi yeyote kwamba ni kafiri isipokuwa baada ya mtu huyo kusimamishwa katika mahakama ya kidini ambapo watadurusu yale yanayopelekea katika ukafiri wake kupitia maneno na matendo yake. Baada ya hapo ndio atakufurishwa. Ama kusema kila mmoja akufurishe ni kitu kisichojuzu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Muhadhara: al-Istiqaamah ´alaa Diynillaah
Imechapishwa: 13/03/2021
https://firqatunnajia.com/inafaa-kwa-mwanafunzi-kumkufurisha-mtu-kabla-ya-wanachuoni/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)