Swali: Je, inafaa kwa dereva kufupisha swalah zake safarini?
Jibu: Akiwa na nyumba na nchi anayoishi ndani yake, haitofaa kwake kufupisha. Ama akiwa hana mahali, kama wabaharia wa meli, hakuna neno [wakafupisha]. Kwani yeye hukumu yake ni kama wasafari wengine. Safari haikatiki kwake mpaka pale atapofika kwa familia yake.
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
- Imechapishwa: 28/12/2018
Swali: Je, inafaa kwa dereva kufupisha swalah zake safarini?
Jibu: Akiwa na nyumba na nchi anayoishi ndani yake, haitofaa kwake kufupisha. Ama akiwa hana mahali, kama wabaharia wa meli, hakuna neno [wakafupisha]. Kwani yeye hukumu yake ni kama wasafari wengine. Safari haikatiki kwake mpaka pale atapofika kwa familia yake.
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (07) http://dl.islamweb.net/audiopath/audio/lecturs/aalrrajhee/434/434.mp3
Imechapishwa: 28/12/2018
https://firqatunnajia.com/inafaa-kwa-mtu-ambaye-kazi-yake-ni-udereva-kufupisha-swalah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)