Swali: Unasemaje kwa mwenye kusema kuwa Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah amewajuzishia wanaume kusikiliza nyimbo za wanawake wanapopiga dufu?
Jibu: Hili wamelijuzisha wanachuoni wengi katika mnasaba wa ndoa tu [wanawake kuimba]. Katika mnasaba wa ndoa wanawake wanaimba wao kwa wao nyimbo zenye kujulikana ambazo hazina mdundiko, muziki na ala za muziki. Jambo lingine ni kwamba zinakuwa nafasi maalum kwa wanawake peke yao ambapo wanaume hawawezi kuzisikia. Kwa kuwa sauti ya mwanamke ni ´Awrah inayowafitinisha watu. Hili linakuwa kati ya wanawake tu wao wenyewe.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-07-18.mp3
- Imechapishwa: 09/08/2020
Swali: Unasemaje kwa mwenye kusema kuwa Shaykh-ul-Islaam Ibn Taymiyyah amewajuzishia wanaume kusikiliza nyimbo za wanawake wanapopiga dufu?
Jibu: Hili wamelijuzisha wanachuoni wengi katika mnasaba wa ndoa tu [wanawake kuimba]. Katika mnasaba wa ndoa wanawake wanaimba wao kwa wao nyimbo zenye kujulikana ambazo hazina mdundiko, muziki na ala za muziki. Jambo lingine ni kwamba zinakuwa nafasi maalum kwa wanawake peke yao ambapo wanaume hawawezi kuzisikia. Kwa kuwa sauti ya mwanamke ni ´Awrah inayowafitinisha watu. Hili linakuwa kati ya wanawake tu wao wenyewe.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: at-Tafsiyr al-Mufasswal (01) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1431-07-18.mp3
Imechapishwa: 09/08/2020
https://firqatunnajia.com/inafaa-kusikiliza-nyimbo-za-wanawake-siku-ya-harusi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)