Swali: Katika desturi zenu mtu humwita mama mkwe wake “Mama”. Je, wito huu unajuzu?
Jibu: Hapana. Imechukizwa kufanya hivi. Ni machukizo yaliyopendekezwa. Asimwambie mke wake “Mama” au “Dada” kwa sababu inafanana na Dhwihaar. Vilevile asimwambie mama mkwe wake “Mama” kwa kuwa akiwa ni mama yake basi msichana wake atakuwa ni haramu kwake. Imechukizwa kufanya hivo.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (03) http://alfawzan.af.org.sa/node/2046
- Imechapishwa: 23/10/2016
Swali: Katika desturi zenu mtu humwita mama mkwe wake “Mama”. Je, wito huu unajuzu?
Jibu: Hapana. Imechukizwa kufanya hivi. Ni machukizo yaliyopendekezwa. Asimwambie mke wake “Mama” au “Dada” kwa sababu inafanana na Dhwihaar. Vilevile asimwambie mama mkwe wake “Mama” kwa kuwa akiwa ni mama yake basi msichana wake atakuwa ni haramu kwake. Imechukizwa kufanya hivo.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (03) http://alfawzan.af.org.sa/node/2046
Imechapishwa: 23/10/2016
https://firqatunnajia.com/inafaa-kumwita-mamake-mke-mama/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)