Swali: Nikiwa na paka mweusi aliyeingia kwenye kuni akaniudhi ambapo nikamfukuza lakini hata hivyo akarudi – je, inajuzu kumuua?
Jibu: Akikuudhi muue. Kwa sababu kila mwenye kuudhi anauawa hata akiwa mwanadamu. Wale wenye kueneza ufisadi juu ya ardhi wanauawa. Tusemeje juu ya paka? Akikuudhi ambapo ukamfukuza lakini hata hivyo akakaidi, una ruhusa ya kumuua.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (70) http://binothaimeen.net/content/1575
- Imechapishwa: 11/03/2020
Swali: Nikiwa na paka mweusi aliyeingia kwenye kuni akaniudhi ambapo nikamfukuza lakini hata hivyo akarudi – je, inajuzu kumuua?
Jibu: Akikuudhi muue. Kwa sababu kila mwenye kuudhi anauawa hata akiwa mwanadamu. Wale wenye kueneza ufisadi juu ya ardhi wanauawa. Tusemeje juu ya paka? Akikuudhi ambapo ukamfukuza lakini hata hivyo akakaidi, una ruhusa ya kumuua.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Liqaa´ ash-Shahriy (70) http://binothaimeen.net/content/1575
Imechapishwa: 11/03/2020
https://firqatunnajia.com/inafaa-kumuua-mnyama-anayesumbua-na-kuudhi-kama-paka/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)