Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali swalah ya ´Iyd ndani ya msikiti?
Jibu: Imechukizwa kuswali swalah ya ´Iyd ndani ya msikiti. Isipokuwa kukiwepo udhuru. Sunnah ni kuswali swalah ya ´Iyd jangwani. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiswali jangwani. Lau kutoka ingelikuwa si lengo asingefanya hivo na wala asingewatia watu uzito kufanya hivo. Isitoshe kuswali ndani ya msikiti jambo la kudhihirisha na kuiweka wazi nembo hii linakosekana.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (16/230)
- Imechapishwa: 14/06/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuswali swalah ya ´Iyd ndani ya msikiti?
Jibu: Imechukizwa kuswali swalah ya ´Iyd ndani ya msikiti. Isipokuwa kukiwepo udhuru. Sunnah ni kuswali swalah ya ´Iyd jangwani. Mtume (Swalla Allaahu ´alayhi wa sallam) alikuwa akiswali jangwani. Lau kutoka ingelikuwa si lengo asingefanya hivo na wala asingewatia watu uzito kufanya hivo. Isitoshe kuswali ndani ya msikiti jambo la kudhihirisha na kuiweka wazi nembo hii linakosekana.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Swaalih bin ´Uthaymiyn
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (16/230)
Imechapishwa: 14/06/2018
https://firqatunnajia.com/imechukizwa-kuswali-swalah-ya-iyd-msikitini/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)