Swali: Tumewasikia baadhi ya wanafunzi wakisema kuwa ni bora mtu kutosema pindi anapotunga vitabu:
“Imeandikwa na fakiri wa Allaah fulani.”
Hoja yao ni kwamba huku ni kujifananisha na Suufiyyah. Maneno haya ni sahihi?
Jibu: Hapana, si sahihi. Huku ni mtu kukiri uhitaji wake kwa Allaah (´Azza wa Jall). Unataka aandike:
“Imeandikwa na walii wa Allaah fulani”?
Hapana. Huku ni mtu kukiri ufakiri wake na ni kunyenyekea.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
- Imechapishwa: 21/01/2017
Swali: Tumewasikia baadhi ya wanafunzi wakisema kuwa ni bora mtu kutosema pindi anapotunga vitabu:
“Imeandikwa na fakiri wa Allaah fulani.”
Hoja yao ni kwamba huku ni kujifananisha na Suufiyyah. Maneno haya ni sahihi?
Jibu: Hapana, si sahihi. Huku ni mtu kukiri uhitaji wake kwa Allaah (´Azza wa Jall). Unataka aandike:
“Imeandikwa na walii wa Allaah fulani”?
Hapana. Huku ni mtu kukiri ufakiri wake na ni kunyenyekea.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Furqaan (10) http://alfawzan.af.org.sa/node/2053
Imechapishwa: 21/01/2017
https://firqatunnajia.com/imeandikwa-na-fakiri-fulani/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)