Swali: Imamu akienda Rak´ah ya tano katika swalah ya Rak´ah nne kwa sababu amesahau kusoma al-Faatihah katika Rak´ah moja wapo na waswaliji hawajui uhalisia wa imamu – je, wamfuate imamu katika hiyo ya Rak´ah au hapana?
Jibu: Kimsingi ni kwamba imamu akienda katika Rak´ah ya tano basi waswaliji wanatakiwa kumzindua. Mwenye kufanya hivo awe ni mtu mwaminifu. Akirudi ni sawa. Vinginevyo wakae chini wakimsubiri.
- Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Tarjama: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
- Imechapishwa: 14/06/2019
Swali: Imamu akienda Rak´ah ya tano katika swalah ya Rak´ah nne kwa sababu amesahau kusoma al-Faatihah katika Rak´ah moja wapo na waswaliji hawajui uhalisia wa imamu – je, wamfuate imamu katika hiyo ya Rak´ah au hapana?
Jibu: Kimsingi ni kwamba imamu akienda katika Rak´ah ya tano basi waswaliji wanatakiwa kumzindua. Mwenye kufanya hivo awe ni mtu mwaminifu. Akirudi ni sawa. Vinginevyo wakae chini wakimsubiri.
Muhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Tarjama: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (11) https://audio.islamweb.net/audio/index.php?page=FullContent&audioid=191491#219817
Imechapishwa: 14/06/2019
https://firqatunnajia.com/imamu-anazidisha-rakah-ya-tano-kwa-sababu-alisahau-al-faatihah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window) Telegram
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window) WhatsApp
- Click to print (Opens in new window) Print
- Click to email a link to a friend (Opens in new window) Email
- Click to share on Facebook (Opens in new window) Facebook
- Click to share on X (Opens in new window) X
- Click to share on Pocket (Opens in new window) Pocket
