Swali: Waswaliji walimuuliza imamu ni vipi anaomba du´aa ya kukhitimisha Qur-aan ilihali hukusoma Qur-aan yote katika Tarawiyh wala katika kisimamo cha usiku ambapo akajibu kwa kusema kuwa yeye anasoma Qur-aan katika kisimamo na katika Tarawiyh kisha anaendelea kisomo nje ya swalah ili aweze kuimaliza na akawatuliza ya kwamba anapupia kukhitimisha Qur-aan. Je, imesuniwa kwa mswaliji kuendeleza kisomo nje ya swalah ili aweze kukhitimisha Qur-aan?
Jibu: Hatujui jambo hili kutoka katika Sunnah wala katika matendo mema ya Salaf. Kheri yote inapatikana katika kufuata. ´Ibaadah zimejengeka juu ya ukomekaji na hakuingii Ijtihaad wala kipimo.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
- Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (06/90) nr. (21263)
- Imechapishwa: 23/04/2022
Swali: Waswaliji walimuuliza imamu ni vipi anaomba du´aa ya kukhitimisha Qur-aan ilihali hukusoma Qur-aan yote katika Tarawiyh wala katika kisimamo cha usiku ambapo akajibu kwa kusema kuwa yeye anasoma Qur-aan katika kisimamo na katika Tarawiyh kisha anaendelea kisomo nje ya swalah ili aweze kuimaliza na akawatuliza ya kwamba anapupia kukhitimisha Qur-aan. Je, imesuniwa kwa mswaliji kuendeleza kisomo nje ya swalah ili aweze kukhitimisha Qur-aan?
Jibu: Hatujui jambo hili kutoka katika Sunnah wala katika matendo mema ya Salaf. Kheri yote inapatikana katika kufuata. ´Ibaadah zimejengeka juu ya ukomekaji na hakuingii Ijtihaad wala kipimo.
´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Swaalih al-Fawzaan
Bakr Abu Zayd
Mhusika: al-Lajnah ad-Daaimah
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: al-Lajnah ad-Daaimah (06/90) nr. (21263)
Imechapishwa: 23/04/2022
https://firqatunnajia.com/imamu-anasoma-duaa-ya-kukhitimisha-qur-aan-ilihali-hakukhitimisha-katika-tarawiyh/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)