Swali: Maamuma akiingia pamoja na imamu na huku amenuia kutofupisha katika swalah ya Rak´ah nne. Imamu anaonelea kuwa ni safari. Imamu akatoa salamu pamoja na maamuma ambaye yeye haonelei kufupisha na wote wawili wako katika safari?
Jibu: Ikiwa yeye haonelei kufupisha na imamu anaonelea kufupisha, wakati imamu atapotoa salamu asimame yeye na kukamilisha swalah yake baada ya imamu.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-01-27.mp3
- Imechapishwa: 15/11/2014
Swali: Maamuma akiingia pamoja na imamu na huku amenuia kutofupisha katika swalah ya Rak´ah nne. Imamu anaonelea kuwa ni safari. Imamu akatoa salamu pamoja na maamuma ambaye yeye haonelei kufupisha na wote wawili wako katika safari?
Jibu: Ikiwa yeye haonelei kufupisha na imamu anaonelea kufupisha, wakati imamu atapotoa salamu asimame yeye na kukamilisha swalah yake baada ya imamu.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Zaad-il-Ma´aad (41) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/mo–1432-01-27.mp3
Imechapishwa: 15/11/2014
https://firqatunnajia.com/imamu-anaonelea-kufupisha-kumswalisha-maamuma-asiyeonelea-kufupisha__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)