Swali: Je, inasihi kwa maamuma kuswalishwa na ambaye anakamilisha swalah yake ni mamoja mswaliji huyo ni miongoni mwa wale ambao wamewahi baadhi ya Rak´ah pamoja na ile swalah ya mkusanyiko wa kwanza au amekuja baada ya kumalizika swalah ya mkusanyiko?
Jibu: Inafaa kumfanya imamu wake yule ambaye analipa swalah yake. Kisha atakapotoa Tasliym yule ambaye analipa yeye atakamilisha kivyake. Ni sawa pia akiswali peke yake au wote wakaswali kwa pamoja.
- Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21654/حكم-الاىتمام-بالمسبوق-في-صلاة-الجماعة
- Imechapishwa: 08/09/2022
Swali: Je, inasihi kwa maamuma kuswalishwa na ambaye anakamilisha swalah yake ni mamoja mswaliji huyo ni miongoni mwa wale ambao wamewahi baadhi ya Rak´ah pamoja na ile swalah ya mkusanyiko wa kwanza au amekuja baada ya kumalizika swalah ya mkusanyiko?
Jibu: Inafaa kumfanya imamu wake yule ambaye analipa swalah yake. Kisha atakapotoa Tasliym yule ambaye analipa yeye atakamilisha kivyake. Ni sawa pia akiswali peke yake au wote wakaswali kwa pamoja.
Mhusika: Imaam ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah bin Baaz
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: https://binbaz.org.sa/fatwas/21654/حكم-الاىتمام-بالمسبوق-في-صلاة-الجماعة
Imechapishwa: 08/09/2022
https://firqatunnajia.com/imamu-ambaye-amechelewa-baadhi-ya-rakah/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)