Swali: Inafaa kwa imamu kuwaswalisha watu akiwa amekula vitungu saumu?
Jibu: Hukumu inamgusa imamu na wengine. Imamu jambo lake linakuwa baya zaidi. Imamu anapaswa awe ruwaza njema kwa watu. Kwa hivyo haitakiwi kwake kufanya hivo. Kitu hicho hakifai kwa imamu wala maamuma. Haijuzu kwa mtu kula kitungu saumu wala kitunguu maji kisha akaingia msikitini. Ni mamoja akawa ni imamu au maamuma. Imamu anatakiwa awe kiigizo chema kwa watu. Ni vipi yeye anafanya hivo?
- Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
- Imechapishwa: 20/08/2021
Swali: Inafaa kwa imamu kuwaswalisha watu akiwa amekula vitungu saumu?
Jibu: Hukumu inamgusa imamu na wengine. Imamu jambo lake linakuwa baya zaidi. Imamu anapaswa awe ruwaza njema kwa watu. Kwa hivyo haitakiwi kwake kufanya hivo. Kitu hicho hakifai kwa imamu wala maamuma. Haijuzu kwa mtu kula kitungu saumu wala kitunguu maji kisha akaingia msikitini. Ni mamoja akawa ni imamu au maamuma. Imamu anatakiwa awe kiigizo chema kwa watu. Ni vipi yeye anafanya hivo?
Mhusika: ´Allaamah ´Abdul-´Aziyz bin ´Abdillaah ar-Raajihiy
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Fataawaa Mutanawwi´ah (21)
Imechapishwa: 20/08/2021
https://firqatunnajia.com/imamu-aliyekula-vitungu-saumu-na-vitunguu-kuwaswalisha-watu/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)