Tumepata khabari ya kwamba kuna wafanyabiashara mwaka jana waliyoingiza karama za krismasi katika uhusiano na mwaka mpya wa kinaswara. Miongoni mwa karama hizi kulikuwa miti ya krismasi ambayo baadhi ya raia waliwapa wageni wa kinaswara katika nchi yetu kama ishara ya ushiriki wa sikukuu yao.
Hichi ni kitendo cha dhambi ambacho watu hawa kamwe wasingejiingiza humo [laiti wangejua hukumu yake]. Sina shaka ya kwamba mnajua kuwa hili ni haramu na kwamba wanachuoni wote wamesema kuwa ni haramu kushiriki kwenye sherehe za makafiri. Natumaini ya kwamba mnatambua kuwa ni haramu kuagiza zawadi na kila kile ambacho ni maalumu kwa sherehe zao.
- Mhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahim Aalush-Shaykh
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (3/105)
- Imechapishwa: 05/10/2020
Tumepata khabari ya kwamba kuna wafanyabiashara mwaka jana waliyoingiza karama za krismasi katika uhusiano na mwaka mpya wa kinaswara. Miongoni mwa karama hizi kulikuwa miti ya krismasi ambayo baadhi ya raia waliwapa wageni wa kinaswara katika nchi yetu kama ishara ya ushiriki wa sikukuu yao.
Hichi ni kitendo cha dhambi ambacho watu hawa kamwe wasingejiingiza humo [laiti wangejua hukumu yake]. Sina shaka ya kwamba mnajua kuwa hili ni haramu na kwamba wanachuoni wote wamesema kuwa ni haramu kushiriki kwenye sherehe za makafiri. Natumaini ya kwamba mnatambua kuwa ni haramu kuagiza zawadi na kila kile ambacho ni maalumu kwa sherehe zao.
Mhusika: Imaam Muhammad bin Ibraahim Aalush-Shaykh
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Majmuu´-ul-Fataawa (3/105)
Imechapishwa: 05/10/2020
https://firqatunnajia.com/imaam-muhammad-bin-ibraahiym-kuhusu-sherehe-ya-krismasi-na-kupeana-zawadi/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)