Swali: Ni ipi hukumu ya kuoa kwa siri bila ya mke wa kwanza kujua?
Jibu: Bi mkubwa hana kinachomuhusu na kumkataza mume wake na kusema kuwa imeshurutishwa akajua. Hili halikushurutishwa. Kinachotakikana kwake ni kufanya uadilifu kati ya wake zake. Hili ndio linalotakikana, sawa ikiwa atajua au hatojua.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13382
- Imechapishwa: 28/04/2018
Swali: Ni ipi hukumu ya kuoa kwa siri bila ya mke wa kwanza kujua?
Jibu: Bi mkubwa hana kinachomuhusu na kumkataza mume wake na kusema kuwa imeshurutishwa akajua. Hili halikushurutishwa. Kinachotakikana kwake ni kufanya uadilifu kati ya wake zake. Hili ndio linalotakikana, sawa ikiwa atajua au hatojua.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Duruus-ul-Haram http://www.alfawzan.af.org.sa/node/13382
Imechapishwa: 28/04/2018
https://firqatunnajia.com/imaam-al-fawzaan-mume-kuongeza-mke-bila-ya-bi-mkubwa-kujua/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)