Swali: Ni ipi hukumu ya mashindishano ya Qur-aan ya wanawake kwa ajili ya kuwashaji´isha kuweza kuhifadhi? Je, inajuzu kuikhitimisha kwa kufanya sherehe ambapo wanapewa zawadi wale wanawake waliofuzu?
Jibu: Haina neno kufanya mashindishano ya kusoma Qur-aan au kuhifadhi kwa wanawake. Lakini kusiwepo mambo ya sherehe na mchanganyiko wa wanaume na wanawake. Wanawake wawe wamejificha.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
- Imechapishwa: 09/04/2015
Swali: Ni ipi hukumu ya mashindishano ya Qur-aan ya wanawake kwa ajili ya kuwashaji´isha kuweza kuhifadhi? Je, inajuzu kuikhitimisha kwa kufanya sherehe ambapo wanapewa zawadi wale wanawake waliofuzu?
Jibu: Haina neno kufanya mashindishano ya kusoma Qur-aan au kuhifadhi kwa wanawake. Lakini kusiwepo mambo ya sherehe na mchanganyiko wa wanaume na wanawake. Wanawake wawe wamejificha.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/liqo%20%20-%2021%20-%2008%20-%201435.mp3
Imechapishwa: 09/04/2015
https://firqatunnajia.com/imaam-al-fawzaan-kuhusu-mashindishano-ya-qur-aan-kwa-wanawake__trashed/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)