Swali: Kuna mtu anafanyia kazi kampuni ya usalama ambayo imempa kazi ya kuchunga benki ilio na ribaa. Inajuzu kufanya kazi huko?
Jibu: Ikiwa anaweza kuhama kwenda sehemu ya kazi nyingine ni bora zaidi na inamtakasia dhimma yake. Vinginevyo anaweza kufanya kazi huko. Kazi yake yeye ni kuchunga benki na mengineyo. Anaweza kuchunga. Majukumu ya benki yako kwa wafanya kazi wao na waasisi wao.
- Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
- Mfasiri: Firqatunnajia.com
- Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
- Imechapishwa: 03/06/2018
Swali: Kuna mtu anafanyia kazi kampuni ya usalama ambayo imempa kazi ya kuchunga benki ilio na ribaa. Inajuzu kufanya kazi huko?
Jibu: Ikiwa anaweza kuhama kwenda sehemu ya kazi nyingine ni bora zaidi na inamtakasia dhimma yake. Vinginevyo anaweza kufanya kazi huko. Kazi yake yeye ni kuchunga benki na mengineyo. Anaweza kuchunga. Majukumu ya benki yako kwa wafanya kazi wao na waasisi wao.
Mhusika: Imaam Swaalih bin Fawzaan al-Fawzaan
Mfasiri: Firqatunnajia.com
Marejeo: Sharh Tafsiyr-ish-Shaykh Muhammad bin ´Abdil-Wahhaab (12) http://www.alfawzan.af.org.sa/sites/default/files/tf–1432-08-02.mp3
Imechapishwa: 03/06/2018
https://firqatunnajia.com/imaam-al-fawzaan-kufanya-kazi-ya-kuchunga-usalama-katika-benki/
Mshirikishe mwenzako:
- Click to share on Telegram (Opens in new window)
- Click to share on WhatsApp (Opens in new window)
- Click to print (Opens in new window)
- Click to email a link to a friend (Opens in new window)
- Click to share on Facebook (Opens in new window)
- Click to share on Twitter (Opens in new window)
- Click to share on Pocket (Opens in new window)